Friday, August 27, 2010
Ziara ya PM Burundi kwenye kutawazwa Nkurunzinza kuwa PREZ kwa mara ya pili
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu wakizungumza na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maziwa Makuu, Balozi Liberat Mulamula (kulia) baada ya kuwasili jijini Bujumbra, ambapo leo atamwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika sherehe za kumwapisha , Rais wa Burundi Pierre Nkurunzinz.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



0 comments:
Post a Comment