Monday, April 18, 2011
Mwenyekiti wa Klabu ya waandishi wa habari mkoani Manyara MAMEC
Mwenyekiti wa Klabu ya waandishi wa habari mkoani Manyara MAMEC,Benny Mwaipaja akizungumza na wanachama mjini Babati juu ya mikakati ya chama hicho kwa mwaka 2011,wengine ni Makamu Mwenyekiti Mary Margwe,Katibu Zacharia Mtigandi na Kaimu Mweka hazina Charles Masayanyika.PIcha na Joseph Lyimo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment