Pages

Subscribe:

Other Category


I made this widget at MyFlashFetish.com.

Labels

You can replace this text by going to "Layout" and then "Page Elements" section. Edit " About "

About Me

Journalist-cum-Lawyer from Mwanza

Followers

Friday, February 25, 2011

Sehemu ya majengo ya OUT Kagera , majengo hayo yalitolewa na Mfanya biashara , Bw. Emmanuel Njumba ambaye awali alinuia kupafanya Hotel

CHADEMA took Mwanza Streets in a demo to pressurize the Govt to lower/ reduce the Price of Sugar and refrain to pay the bogus debt that Downs owes it.

Mwanza residents flocked the Streets to support the CHADEMA demonstrations that was aimed at askin' da govt not to pay the purported Downs debt.

Angalia watu walivyofurika Jijini Mwanza kwenye maandamano ya CHADEMA kupinga malipo kwa DOWANS

Suala la kupanda kwa sukari na Serikali kushughulikia Mafisadi CHADEMA waliandamana katika Jiji la Mwanza Feb 24, 2011

Maandamano ya Feb 24, 2011 ya CHADEMA yalifurika ile mbaya

Wanachama na Viongozi wa CHADEMA wakishinikiza Serikali isilipe denila Dowans, ipunguze bei ya Umeme na ishughulikie mafisadi.

Thursday, February 24, 2011

safari moja huanzisha nyingine

Usishangae huu ndiyo usafiri wa nchi za dunia ya nne

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Demokrasia ya Congo(DRC) jijini Kinshasa jana jioni.Rais Kikwete alisimama kwa muda mjini Kinshasa akitokea Abidjan, Ivory Coast na kufanya mazungumzo na Rais Kabila(Picha:Freddy Maro).

Spika wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda akiwa na huzuni wakati Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick anamsomea taarifa kuhusu milipuko ya mabomu katika kambi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Gongo La Mboto. Makinda ametembelea kambi ya waathirika, Mzambarauni jijini humo.(Picha na Fadhili Akida).

Muammar Gadaffi whose days are numbered is alleged too have ordered the Lockerbie shooting of the airbus carrier in 1988

Huyu ndiye aliyejitokeza kuwa ndiye Mmiliki wa Dowans

Kanali Mstaafu, Suleiman Mohamed al Adawi.

Tuesday, February 15, 2011

BODABODA NAZO ZIKO KAZINI KUFA KUFAANA MGOMO WA DALADALA FURAHA YA TUKUTUKU + DALADALA

 U SEE HOW PEOPLE CAN TUNE THEMSELVES WHERE THERE NO OPTIONS

Hata akina mama nao wamo wananig'inia kwenye bhajaj dala dala walipogoma kufanya kazi

HAusafiri wa Bhajaj ulikuwa ndiyo kimbilio Feb14, 2O11        

Bhajaj nazo zilitumika kama usafiri kwa biria Dladala zilipogoma Feb 14, 2011

 Katika hali ya kawaida watu hawa wasingeli safiri kwa Bhajaj

MGOMO WA DALADALA JIJINI MWANZA VALENTINE DAY

Ilikuwa hakuna kuchagua usafiri, bora kwenda

Friday, August 27, 2010

Ziara ya PM Burundi kwenye kutawazwa Nkurunzinza kuwa PREZ kwa mara ya pili


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu wakizungumza na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maziwa Makuu, Balozi Liberat Mulamula (kulia) baada ya kuwasili jijini Bujumbra, ambapo leo atamwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika sherehe za kumwapisha , Rais wa Burundi Pierre Nkurunzinz.

Chama cha Wananchi (CUF)_ LEO KUZINDUA ILANI YAO

HAPA MPEPERUSHA BENDERA YA CUF PROF IBRAHIMU LIPUMBA

TOT SEMINAR, MWANZA

LEADERS AND TRAINERS

This is the symbol of Mwanza City

Bismark Rock of Mwanza

Mkurugenzi wa Maelezo Bw. Clement Mshana Flanked by

Hapa Mkuu wa Maelezo akiongea na waandishi wa habari juu ya uchaguzi Mkuu ujao- Aug 31,2010

Baadhi ya Hotel za Jijini Mwanza

Midland Hotel is one of the destinations you can find in Mwanza City

mafunzo ya upigaji picha kwa waandishi wa habari wa Mwanza

Shezzy + Colleague wakioneshana Picha walizopiga

Monday, August 23, 2010

Robinson Mnyoti ni Raia wa Kenya aliyerubuniwa na Mkenya Mwenzake( aliyehukumiwa miaka 17 jela) kuja Mwanza kutafutiwa kazi , kumbenia ilikuwa kuuzwa


Baadhi ya wanachama wa chama cha maalbino mkoni ,Mwanza wakiwa na Robinson Mnyoti watatu kutoka kushoto,aliyenusurika kifo agosti 15 mwaka huu na wa pili kutoka Kushoto ni Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Mwanza Bw.Alfred na aliyekaa kulia ni Bibi, Angel  

Saturday, August 21, 2010

WAANDISHI WA HABARI WA TABORA(TPC) WAKIWA NA WENYEJI WAO WA SHINYANGA( SPC) WALIPOKUWA MAFUNZONI MKOANI HAPO


Picha ya pamoja ya waandishi wa mikoa ya Shinyanga na Tabora walioshiki mafunzo ya habari za uchaguzi

KUMBUKUMBU YA MWALIMU NA NUKUU ZAKE

http://watanzaniaoslo.blogspot.com/2007_09_15_archive.html

MAMBO YA UCHAGUZI MKUU 2010


Baadhi ya waandishi wa TV Kanda ya Nyanda za Juu Kusini waliohudhuria mafunzo ya namna ya kuripoti habari za uchaguzi 2010 yaliyoandaliwa na UNDP wakiwa katika picha ya pamoja na Mwezeshaji Laurence Kilimwiko( aliyevaa kizibao) nje ya Ukumbi wa Beaco Resort Mbeya hivi karibuni, waandishi hao walielezea umuhimu wa wadau wa habari kujali zaidi maslahi ya nchi. (picha na Juma Nyumayo)

Jijini AKILI MKICHWA- VIJANA WAKIFANZA BIASHARA YA MBWA, KAMA NJUGU VILE!

Jiji ni Jiji hapa vijana wakiwa na Mbwa wadogo na wakubwa wakiwauza kandokando ya Barabara ya Ali Hassan Mwinyi Jijini Dar es salaam

Jiji la Dar Linazidi kumelemeta, naona usafi unarejea, waiona Mnazi mmoja?


Eneo la Viwanja vya Bustani ya Mnazimmoja inayomilikiwa na Jiji la Dar es Salaam linavyoonekanapamoja na Majengo ya kisasa katika picha iliyopigwa kutokea juu ya ghorofa la Ushirika Lumumba Jijini Dar es Salaam.

Friday, August 20, 2010

Mr. Jilala Calvin Duttu akipokea cheti cha mafunzo ya Ukufunzi wa masuala ya Uchaguzi Jijini Mwanza

AKIKABIDHIWA CHETI NA RAIS WA UTPC BW. KENNETH SIMBAYA NI DUTTU( MR). PEMBENI NI KATIBU WA MCT MR KAJUBI MUKAJANGA NA MWENYEKITI WA MPC MR. JIMMY LUHENDE

PICHA YA PAMOJA YA WASHIRIKI WA SEMINA YA WAKUFUNZI JIJINI MWANZA

MAJADILIANO YA MAFUNZO YA WALIMU WA WALIMU JIJINI MWANZA


MIMI NI MMOJA WAO NIKIWA KATIKATI